Nataka kununua gari

Nataka kununua gari

Faru01

Member
Joined
Jun 29, 2022
Posts
80
Reaction score
238
Wakuu poleni na majukumu. Hapa nilipo najiona muda sio mrefu kuanzia saivi hadi miaka mitano ijayo nitaanza kumiliki fedha zingi yaani vibunda vya kutosha.

Naombeni ushauri gari gani la kuanza nalo kutafuta uzoefu wa road kati ya CROWN ATHLETES au SUBARU FORESTER XT.
 
Baada ya maika mitano ndio uwaze kununua gari, ukisahakuwa na vibunda.
 
Back
Top Bottom