Wakuu poleni na majukumu. Hapa nilipo najiona muda sio mrefu kuanzia saivi hadi miaka mitano ijayo nitaanza kumiliki fedha zingi yaani vibunda vya kutosha.
Naombeni ushauri gari gani la kuanza nalo kutafuta uzoefu wa road kati ya CROWN ATHLETES au SUBARU FORESTER XT.
Naombeni ushauri gari gani la kuanza nalo kutafuta uzoefu wa road kati ya CROWN ATHLETES au SUBARU FORESTER XT.