Nataka kumuua mbwa

dingihimself

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2016
Posts
9,802
Reaction score
20,296
Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri
 
Naona umemua kutuonyesha kuwa una miliki mbwa aina hiyo huna lolote...
Eti unaomba namna ya kumuua..watu bhana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…