mimi ni kijana wa miaka 27. nmekuja maswa kwa shuguli zangu ndogondogo bahati nzur nkapata chumba kwenye mji mmoja. kuna binti nimemwona hapa nkavutiwa kumuoa maana ana maadili mazuri na ametulia sana. nlimpima kwa kutaka kumhonga pesa akanjibu live kuwa pesa siyo mapenzi. nmejkuta nahtaji kabisa kumuoa. nifate utaratbu ghani maana yeye aniamini anajua namtaka kimapenzi. nifate utaratibu upi?