Nataka kujuzwa kuhusu SAUT Arusha

Nataka kujuzwa kuhusu SAUT Arusha

First year mniulize swali lolote kuhusu malecturer na kozi au chochote
 
Nmepita jioni hii wanafunzi walikuwa wanazurura hapo nje ya geti.
 
Hahahaaaaaaa kipo mjini kusikia kelele za wapiga debe...muziki ukiwa class Ni jambo la kawaida...kina jengo moja la ghorofa tatu...hakuna hata uwanja wa rede
 
Kina majengo ya ghorofa 3,,, kwa chini kidogo kuna office za magari ya mtei express ,,, kwakuwa kipo town utasikia wapiga debe (makondakta) wanasema ,, kwa morombo kwa morombo,,kwa morombo,,,na wengine utawasikia ,majengo majengo,,mbauda majengo juu sacon ,,,,,, hahahaha karib arusha bhana ,,, ukipita matejo kupigwa roba nikawaida tu yan,,, au kuporwa sim nijambo la kawaida sana yan,,,,
thats the harsh reality....umetoa ukweli..umeita beleshi beleshi sio kijiko kikubwa..
 
Back
Top Bottom