Nataka kujuzwa kuhusu SAUT Arusha

Nataka kujuzwa kuhusu SAUT Arusha

PRINCEd

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
860
Reaction score
623
Wanajamvi mweny kujua chochote kuhusu hiki chuo, uzoefu nacho, location, accommodation na vngne kama vipo....


Karibuni
 
Wanajamvi mweny kujua chochote kuhusu hiki chuo, uzoefu nacho, location, accommodation na vngne kama vipo....


Karibuni
kipo mjini kabsa kimezungukwa na huduma zote muhimu jirani kuna soko la kilombero chini kidogo kuna suprmaket maarufu sana arusha ya nakumat
jiran kuna mahakama, kituo cha polisi
usalama wa kutosha pia chuo kipo jiran na uwanja wa sheik amri abeid na stand ya mabasi yaendayo mikoani

mi naishi arusha japo sisomi apo nimekupa location tu kuhusu huduma zake watakusaidia wanaosoma apo
 
Kipo ngaranaro, Hostel zipo, wanajitahidi kwamambo ya elimu mi naingia 3rd year pale. Karibuni sana.
Mkuu vp kuhusu garama za hostel zkoje na je ni za chuo au kitaa
 
Hotel ni laki 3 kwamwaka. Nje zipo na nyumba zakwaida zipo.
 
Accomodation kujitegemea...
Location makao mapya juu kidogo ya soko la kilombero
 
Kina majengo ya ghorofa 3,,, kwa chini kidogo kuna office za magari ya mtei express ,,, kwakuwa kipo town utasikia wapiga debe (makondakta) wanasema ,, kwa morombo kwa morombo,,kwa morombo,,,na wengine utawasikia ,majengo majengo,,mbauda majengo juu sacon ,,,,,, hahahaha karib arusha bhana ,,, ukipita matejo kupigwa roba nikawaida tu yan,,, au kuporwa sim nijambo la kawaida sana yan,,,,
 
Duuuuuu chuo kina jengo moja, hakina viwanja vya michezo
Kiukweli huwez kuinjoy km wewe ni mtu wa michezo
 
Yes, kumbuka ilikua shule ya St. Joseph sec. Wakaanza na evening course za certificate na dip. Yakaja maombi ya degree, ila with tyme watabadilika
 
Back
Top Bottom