nataka kujua

Bullshit

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
1,357
1,596
naombeni msahada kujua hili swala jamii,hivi unaweza kuwa na nguvu za kiume ila begu za kiume zikawa hazina nguvu ya kurutubsha yai.na ukawa na huna nguvu(unapga round moja tena dakka cahche sana) za kiume lakin mbegu zinaweza kurutubsha yai na hatimaye mwanamke kupata mimba
 
Ndiyo inawezekana,
Tena bao la kwanza mdio lenye sperm zenye rutuba kumpa mwanamke mimba na na mara zote bao la kwanza hutoka mapema,
Lakini nakushauri utumie kinga au ukiweza achana na mapenzi kwanza jibidiishe na masomo,
Haya mambo utayakuta tuu muda ukifika.
 
naombeni msahada kujua hili swala jamii,hivi unaweza kuwa na nguvu za kiume ila begu za kiume zikawa hazina nguvu ya kurutubsha yai.na ukawa na huna nguvu(unapga round moja tena dakka cahche sana) za kiume lakin mbegu zinaweza kurutubsha yai na hatimaye mwanamke kupata mimba

Ndio inawezekana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom