jamaniiiiii eeeh,jamaaaa sikashasema?apendezwi na ukabila na uendeshaji mbovu wa chama na maadili mabovu ya viongozi,mi naona hii ni challenge kwenu mnaojiita wanachadema,embu chakachueni hayo mawazo yake mwisho wa siku mtakuja kujuta bureeeeeeeee na mda utakuwa umeisha.embu tafakarini kama mwenzenu alikuwa chadema kuanzia1996 mpaka leo ameemua kujitoa inaonekana ni mengi yanayofanywa na chama hicho.naona mwanachama aliyojitoa atuambie ni nini kilichomfanya atoke,labda na wengine watamuunga mkono au sio?zindukeni vijana