ufadhili ni mgumu kwa project kama hiyo, japo wapo; labda mkopo, kama una sifa za kukopesheka..watafute Equity bank...sina hakika na uwepo wao huko kigoma. Ila najua kuna mtu nilimwandikia Bplan ya Fish farming huko Chalinze na akapata mkopo wake..saivi amevuna mara mbili....mafishi kibao!! kama vipi karibu nikuandikie mradi huo