Nashukuru ndugu mm nilitaman zaidi muichambue hiyo PC kwa kuangalia hiyo picha niliyoattachUtashauriwaje sasa hapo . Kwakuwa ni used pga picha nje kila kona. Fungua sehem ya harddisk na motherboard pga pcha..
Tuambie unauziwa shngap na wap unanunua tujue pa kuanzia kukushauri
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Kwa urahisi unapata core i5 gen ya 6 na 7, ila ukikomaa kutafuta unapata gen ya 8 pia, gen ya 8 ni nzuri zaidi. Mambo ya ram na hdd yanabadilishika mbele ya safari.Ubarikiwe mkuu
Na kwa bajeti ya laki 7 napata yenye sifa zipi mkuu ? Used
Kila brand inaweza kuwa nzuri. Kibongo bongo utapata tu model za wafanyabiashara kama Lenovo Thinkpad, HP elitebook etc. Brand za pc hazina utofauti sana. Cha muhimu ni warranty.Ubarikiwe brand ipi ni nzur zaidi HP, Dell, Lenovo etc?
Samahani ndg unaweza ukanitajia jina kabisa la PC na budget yake ambayo ipo karibu na 700 niliyonayo au niongeze kidogo pesaKila brand inaweza kuwa nzuri. Kibongo bongo utapata tu model za wafanyabiashara kama Lenovo Thinkpad, HP elitebook etc. Brand za pc hazina utofauti sana. Cha muhimu ni warranty.
Naweza kukutajia na usiipate, pc zipo nyingi sana tofauti na simu, na pc moja inaweza kuna na configuration tofauti hata 20, naweza kwambia tafuta Lenovo thinkpad 480 ukafika ukauziwa version ya pentium, vyema ukaangalia specification mwenyewe.Samahani ndg unaweza ukanitajia jina kabisa la PC na budget yake ambayo ipo karibu na 700 niliyonayo au niongeze kidogo pesa