Nataka kuhama Bongo

duuh, hahaha, miaka 30, yaani thirty good years abroad na bado has nothing on his hand. pole sana.
 
nakushauri nenda AFGHANISTAN, utawakuta wenzio walima mimea ya cocaine na wabwia unga wenzio wengi sana, utaenjoi laifu sana kule. ukishindwa afghan, mwombe Mungu akusaidie uende ahera.


Nenda mwenyewe wivu tu wa kike
 
Sababu zipi zimekupelekea kutaka kuhama bongo?
 
alshababu wako Somalia bwana sio Mombasa na kericho...nenda mkuu au Kisumu na Eldoreti hakuna sehemu nzuri kama huko hapa duniani nimetembea nchi nyingi lakini huko nomaa safi sana...

uchumi wa eldoret ukoje??
Ukiweza taja na population,bongo hii michosho tu,better to find out for new challenges
 
alshababu wako Somalia bwana sio Mombasa na kericho...nenda mkuu au Kisumu na Eldoreti hakuna sehemu nzuri kama huko hapa duniani nimetembea nchi nyingi lakini huko nomaa safi sana...


Usalama ndio la Msingi zaidi kuliko mji unavoonekana Mkuu.
Sidhani hata kidogo kwenda huko.
 
Mie kuhama tz Lowasa akiwa rais itabidi nikutafute niwe mgeni wako tangulia mkuu
 
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,mkuu nini kimekukumba hapa tz hadi uhisi amani yako inatoweka?
 

karibu sweden ..
 


$500,000 kwa usa
 
Nenda Luxembourg. Ila ujue kifaransa. NI nchi ndogo iliyo tajiri na uchumi mzuri
 
Njoo hapa Bankok Thailand..fursa kibao, heshima rundo.kupata visa nenda Nairobi.kuna wa Nigeria na wa west kwa ujumla wengi sana hapa.maisha ni rahisi ambavyo huwezi kufikiria.usafiri, appartments, vyakula,biashara ni nyingi na hazina mikwara kama kwetu.wamachinga wamepewa nafasi kila kona..street hawkers na mama ntilie wa kutoka sehemu mbalimbali nje na thai wanashirikiana na wenyeji kufanya biashara.wenyeji wanaheshimu wageni ni balaa.ukishuka airport yao ya "subhanabhumi"utakaribishwa na bango kubwa"THE OPPORTUNITY HAVE LANDED WELCOME TO BANKOK"yaani wewe ni fursa umetua kwa hiyo unatakiwa kutumika.
Pia vijana wenzangu wenye kuwaza kufanya biashara za madini Bankok is the best place you can meet with international gemstones buyers
Njoo aise usiogope.mfano waweza pata appartment ye ye room 1 sebule, kitchen na toilet kwa 2500bhats.sawa na dola 80.bill za maji na umeme ni vichekesho.ni bhat 100 flat rate.gesi huku ndio kwao imeleta mapinduzi makubwa sana ya uchumi.watanzania tujiandaeni na ujio wa matumizi ya gesi yetu.tusiwaachie wahindi na wengine kutoka asia wa dominate sekta hii nikimaanisha biashara na fursa zinazotokana na gesi, biashara, gas stations zote ziwe za wazawa.katiba yetu itamke wazi mambo kama haya.ng'wabeja sana.
 
Nenda Afghanistan, Palestina ama Afrika ya kati...utasuuzika moyo wako kwani huko ni action tupu siyo km bongo ulikokuchoka.
 
Mimi nakushauri nenda nchi yoyote ya Kiarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…