Nataka kuhama Bongo

Huendi kutafuta chochote, whether biashara au kazi? Now I can see u're not serious mkuu! Umejiwezesha kiasi gani ww? Una hela mpaka unaona Bongo inanuka unataka kuikimbia? Mh Ama kweli duniani Kuna mambo



Yaani unashangaa mtzania wa kawaida kuhama nchi ?Kweli bado tz iko nyuma
 
Mi demu mbona. Baki hapa panakufaa kwa shida ulizonazo. utaanza kusumbua wazazi tu
 
Yaani ukishindwa kuishi bongo hakuna nchi utaweza ishi. Bongo ni kila kitu ujanja wako tu.... nchi gani itakuvumilia wewe uwe unachati tuuu masaa yote tangu 2011 unachati tuuu umeifanyia nini nchi hii? fikiri upya.


We nawe unafikiri ninashinda fb,twiter,na jf kama unavyodhani?
Mimi nimeweza kuwa na uwezo wa kuhama je nisihame?

Jitambue.
 
Yaani unashangaa mtzania wa kawaida kuhama nchi ?Kweli bado tz iko nyuma

Kama una fedha za kutosha nenda Malta na unapewa uraia mara moja. Lakini inatakiwa uwe na fedha... dola 865,000 ambazo utawekeza kwenye benki yao. Hii nchi wanasaka fedha za kufufua uchumi wao na passport yao inakuwezesha kutembea Ulaya na USA bila kuomba visa. Kuna na nchi ndogo ndogo kama Dominica nk ambazo hutoza fedha chache kidogo kama dola 100,000. Hata USA ukiwa na dola milion moja nadhani unaweza kupewa investor's visa (hii ya USA sina uhakika sana.
 
Biashara Dar mpaka Nairobi basi tena mkuu?
 
Huna pesa wewe, hakuna mtu mwenye pesa anatumia mda vibaya kama wewe. Unachati hapa vitu ambavyo havina maana, kwanini usitafute kitu cha kufanya??
 
Kabla hujaondoka hapa, tafadhali wasiliana kwanza na Le Mutuz System.
Yeye ana uzoefu wa miaka 30 huko majuu na hataki kabisa kusikia habari za huko.
Lakini ushauri wangu, naomba ukomae hapa hapa nyumbani kwa sababu pana fursa kibao tu kama utajituma.
Tatizo la vijana hususan wanaomaliza chuo huwa wanakuwa na ndoto fulani za abunuwasi wanapokuwa huko, sasa wakishafika kitaa na kuona upepo tofauti, akili huwa zinawahama na kutamani kwenda majuu kwa sababu huwa wanahisi kwa hadhi ya elimu waliyonayo pamoja vyeti vyao, hawawezi kufanya kazi za huku kitaa ambazo ndio zinawatoa wengine.
 
nenda KENYA MKUU SAFI SANA ASIKUAMBIE MTU.TENA UWE NAKURU,MOMBASA...
 
Huna pesa wewe, hakuna mtu mwenye pesa anatumia mda vibaya kama wewe. Unachati hapa vitu ambavyo havina maana, kwanini usitafute kitu cha kufanya??


Sasa unakataa wewe ndio unaujua Mfuko wangu?
Nimeamini kuwa kichaa sio lazima ubebe makopo.
 
kama pesa unayo kuna visiwa vingi tu indian ocean, atlantic etc ambavyo havina watu wala nyumba, unaweza ukachagua kimoja ukajenga bangaloo lako hapo ukaishi kama uko peponi vile!
 
Huko Alshaababu wakali
alshababu wako Somalia bwana sio Mombasa na kericho...nenda mkuu au Kisumu na Eldoreti hakuna sehemu nzuri kama huko hapa duniani nimetembea nchi nyingi lakini huko nomaa safi sana...
 
nakushauri nenda AFGHANISTAN, utawakuta wenzio walima mimea ya cocaine na wabwia unga wenzio wengi sana, utaenjoi laifu sana kule. ukishindwa afghan, mwombe Mungu akusaidie uende ahera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…