Nataka kugombea ubunge.

Nataka kugombea ubunge.

ningekushauri uendelee kubaki shuleni ujifunze kiswahili kwanza maana hakuna neno kama 'kugombeya'
 
unasoma chuo gan?na mwalimu gani wewe hujui hata kuandika kiswahili sahihi,jifunze kwanza kusoma na kuandika ndiyo utangaze nia.
 
ji update na mambo mengi ya siasa both ya kitaifa na kimataifa,chukua uanachama chama unachokiona kinafafana na wewe,jipendekeze kwa wakubwa kwa kujituma,jitahidi uwe na nguvu ya hoja,usiwe na hofu ya kuzungumza mbele ya hadhira MAMBO NI MENGI MNO TATIZO UMEULIZA SWALI LIPO TOO GENERAL PIA TAMBUA HILO SWALA SIO LA MUDA MFUPI NDUGU NA HALINA GURANTEE
 
Nindoto yangu kugombeya ubunge maishani mwangu,kwasasa nasomea ualimu, mwaka wa mwisho,namaanisha 3rd yr kuanzia october 8, nawaza. na natamani sana kuwa mkombozi na mtetezi wa wanyonge maisha yangu yote ila tatizo sijui nitaanzia wapi ili kutimiza ndoto hii.Wadau,wanasiasa nisaidieni mawazo hapa niko sirious kugombeya ubunge katika jimbo moja hapa Tz je niwapi pakuanzia,
Kwanza itabidi niwe na pesa kiasi gani ili nigombee huo ubunge?

kutokana na fani nayo isomea na jun mwakani natumaini nitakuwa nime maliza je nitakuwa sahihi kugombeya?

Je ninini chauongeza au kujiandaa kielimu kiuchumi ama kisisiasa ili niwe kamili.
Nakushauri kwanza uangalie kwa makini makaratasi yako ya uraia Kama yamekaa vizuri.
Pili nakushauri uchukue madarasa ya Kiswahili.
Tatu ujifunze jinsi ya kuandika habari au taarifa...kwa hili unaweza kuanzia na kuandika IMLA.
Ukikamilisha hayo unaweza kuanza na kugombea Ujumbe wa nyumba kumi kumi,halafu ukaendeleza harakati kuanzia hapo.
Kila la kheri mkuu.
 
Nindoto yangu kugombeya ubunge maishani mwangu,kwasasa nasomea ualimu, mwaka wa mwisho,namaanisha 3rd yr kuanzia october 8, nawaza. na natamani sana kuwa mkombozi na mtetezi wa wanyonge maisha yangu yote ila tatizo sijui nitaanzia wapi ili kutimiza ndoto hii.Wadau,wanasiasa nisaidieni mawazo hapa niko sirious kugombeya ubunge katika jimbo moja hapa Tz je niwapi pakuanzia,
Kwanza itabidi niwe na pesa kiasi gani ili nigombee huo ubunge?

kutokana na fani nayo isomea na jun mwakani natumaini nitakuwa nime maliza je nitakuwa sahihi kugombeya?

Je ninini chauongeza au kujiandaa kielimu kiuchumi ama kisisiasa ili niwe kamili.

kagombee cwt, afterall hapa sio nec, hebu kashike chaki huko muone kwanza nyie ndio wale mmeenda kusomea ualimu kwa sababu mmekosa sifa koz nyingne eboo.!
 
Nindoto yangu kugombeya ubunge maishani mwangu,kwasasa nasomea ualimu, mwaka wa mwisho,namaanisha 3rd yr kuanzia october 8, nawaza. na natamani sana kuwa mkombozi na mtetezi wa wanyonge maisha yangu yote ila tatizo sijui nitaanzia wapi ili kutimiza ndoto hii.Wadau,wanasiasa nisaidieni mawazo hapa niko sirious kugombeya ubunge katika jimbo moja hapa Tz je niwapi pakuanzia,
Kwanza itabidi niwe na pesa kiasi gani ili nigombee huo ubunge?

kutokana na fani nayo isomea na jun mwakani natumaini nitakuwa nime maliza je nitakuwa sahihi kugombeya?

Je ninini chauongeza au kujiandaa kielimu kiuchumi ama kisisiasa ili niwe kamili.

UMEANDIKA JAMBO ZURI ILA ULIVYOLITOA LITALETA UTATA SANA. Umesema we ni mwalimu ila hujataja jimbo, unagombea kwa Dr. S Kawambwa nini? Ubunge lazima upitie chama cha siasa, hujatuambia chama gani? Umegusia kiasi cha pesa, UBUNGE HAUNUNULIWA unatakiwa kukubalika tu kwa wapiga kura. Suala la elimu, ubunge hausomewi ndugu yangu. Usiishi kwa ndoto. Dhamira ndio ikuongoze kugombea. Uwe na malengo na mikakati ya kufikia malengo hayo. Ujue mila na desturi za jimbo unalogombea. Nahisi nimekurizisha.
 
ji update na mambo mengi ya siasa both ya kitaifa na kimataifa,chukua uanachama chama unachokiona kinafafana na wewe,jipendekeze kwa wakubwa kwa kujituma,jitahidi uwe na nguvu ya hoja,usiwe na hofu ya kuzungumza mbele ya hadhira MAMBO NI MENGI MNO TATIZO UMEULIZA SWALI LIPO TOO GENERAL PIA TAMBUA HILO SWALA SIO LA MUDA MFUPI NDUGU NA HALINA GURANTEE

Uko sahihi kabisa !
 
Kwani huwezi kuwa mtetezi na mkombozi wa wanyonge bila kuwa mbunge?
 
Nindoto yangu kugombeya ubunge maishani mwangu,kwasasa nasomea ualimu, mwaka wa mwisho,namaanisha 3rd yr kuanzia october 8, nawaza. na natamani sana kuwa mkombozi na mtetezi wa wanyonge maisha yangu yote ila tatizo sijui nitaanzia wapi ili kutimiza ndoto hii.Wadau,wanasiasa nisaidieni mawazo hapa niko sirious kugombeya ubunge katika jimbo moja hapa Tz je niwapi pakuanzia,
Kwanza itabidi niwe na pesa kiasi gani ili nigombee huo ubunge?

kutokana na fani nayo isomea na jun mwakani natumaini nitakuwa nime maliza je nitakuwa sahihi kugombeya?

Je ninini chauongeza au kujiandaa kielimu kiuchumi ama kisisiasa ili niwe kamili.

Kama kweli unauchungu na nchii na kwamba unataka kulete mageuzi yenye tija na maendeleo katika nyanja za kiuchumi, siasa na jamii kwa ujumla nakushauri ukimaliza chuo nenda ukafundishe watoto wa Watanzania kokote utakapopangiwa.Maana utakuwa unawakomboa kifikira, ila kama umeona taaluma yako hailipi na unatamaa ya madaraka na miposho basi ingia kwenye siasa maana siasa inalipa.
 
kamuulize SILINDE atakupa uzoefu wa hilo. maana yeye ajira yake ya kwanza baada ya kumaliza chuo ni ubunge.
 
Tafuta kama milioni 300 za kuanzia kwa kuwaonga wapiga kura na wajumbe wa chama chako watakao kupitisha jina lako.
 
Veve taka kuwa kuba?!,wewe iko oga maji pilipili mingi banaaa,halafu iko ona Patel nasaidia wewe,hapana shida,eeeeehhhhhhhhhh,sisi India kupa wewe Bombay!!!!!!!!!!!.
 
Mwalimu pole, kiswahili hujui na unamaliza digrii ya ualimu?? Basi huwezi kuanzia ubunge kwanza anza kupata uhodari wa kusimama mbele ya wanafunzi ukishapata tutakuelekeza cha kufanya. Pole sana!!! Pia usisahau kuchukua kadi ya chama unachoona kinakufaa kwa mtazamo wako mwenyewe na je huko unakotoka kina nguvu kama hakina tafuta namna ya kukiimarisha saidia kwa kufungua matawi na kusaidia vijana nk. Huhitaji pesa kwa sababu pesa hazina maono bali pesa hufuata maono.
 
Nakushauri kwanza uangalie kwa makini makaratasi yako ya uraia Kama yamekaa vizuri.
Pili nakushauri uchukue madarasa ya Kiswahili.
Tatu ujifunze jinsi ya kuandika habari au taarifa...kwa hili unaweza kuanzia na kuandika IMLA.
Ukikamilisha hayo unaweza kuanza na kugombea Ujumbe wa nyumba kumi kumi,halafu ukaendeleza harakati kuanzia hapo.
Kila la kheri mkuu.
Umemshauri vyema. Cha kuongezea, si tu acheki makaratasi yake ya uraia bali pia vyeti vyake na aina ya Chuo anachosomea vina walakini kwa mtu anayesomea Ualimu kwa miaka 3 (hopefully ni shahada ya ualimu) kuwa na matatizo lukuki ya uandishi tena wa lugha ya Kiswahili. Huyu si boya kweli ambaye ameogopa kujitosa kupambana na mazingira ya uanataaluma akadhani kwenye siasa vilaza kama yeye ndio wanatakiwa? Too sad to a higher learning institution student to have such a disturbing grammar & poor writing skills of his/her own national language!
 
Ndugu zangu huyu anahitaji ushauri mimi nadhani ni vizuri mkampa huo ushauri na pia inawezekana kabisa spelling mistakes zake zikawa zinachangiwa pia na ugeni wa keyboard!
Msameheni nakubali kwa 100% ya kwamba kuna mambo mengi sana ya kumuuliza kwenye hiyo mesage yake!

Umemshauri vyema. Cha kuongezea, si tu acheki makaratasi yake ya uraia bali pia vyeti vyake na aina ya Chuo anachosomea vina walakini kwa mtu anayesomea Ualimu kwa miaka 3 (hopefully ni shahada ya ualimu) kuwa na matatizo lukuki ya uandishi tena wa lugha ya Kiswahili. Huyu si boya kweli ambaye ameogopa kujitosa kupambana na mazingira ya uanataaluma akadhani kwenye siasa vilaza kama yeye ndio wanatakiwa? Too sad to a higher learning institution student to have such a disturbing grammar & poor writing skills of his/her own national language!
 
Gombea kupitia Kigoma kwa Zitto Kabwe, ashasema yeye na Ubunge sasa basi, bali U-prezidaa!!
 
Good idea. Jipange, ubunge hausomewi hata kama uko kama Lusinde, uongozi hausomewi bali ni kipaji kama Nyerere, maamuzi hayajadiliwi hata kama utakuwa kama Jk. Unavyoishi ndivyo utakavyokuwa kama Obama. Be strong in +ve minds. Go ahead.

Hakuna patent ya ubunge wala urais. Zote ndoto tu.
 
Back
Top Bottom