Nataka kugombe urais 2015

Nataka kugombe urais 2015

IFUNYA

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2011
Posts
363
Reaction score
132
WanaJF nawaombeni mniunge mkono kwa hii ndoto yangu ya siku nyingi. Tangu milieu motto mama yangu alikuwa akiniuliza maswali ambayo majibu yake nilijibu nataka Kuwa RAIS wa Tanzania WA kuchaguliwa na wapiga kula. Kwa sasa niko tayari kuwatumikia watanzania wapenda amani Mola aniongoze kwa hili.
 
Una asili ya uchifu katika ukoo wako? sababu wengine wakiupata uongozi utawasikia wakisema mababu zao walikuwa machifu, hivyo wanafuata nyayo!
 
Ndiyo babu wa babu aliwahi kuwa Chief.
 
hata kuandika huwezi dah urais umekuwa very simple namna hii,rudi shule kijana acha ndoto za mchana
 
Ntamlaumu na kumlaani kikwete siku zote,ndo kasababisha yote yanayotokea
 
Najibu tu kwa niaba, anataka achaguliwe na wapiga KULA sio kura. Yeye ataandaa wali maharage kwa kila mpiga kura ili yeye awape kula ya siku moja mchana tu nao wampe kura ya ushindi wa miaka 5.
This guy must be a ccm member. Inanukia kabisa kisiisiieeym. Lakini, namtahadharisha mapema, this time wapiga kura wameamka, hawataki tshirt, khanga za sanamu wala kofia kutoka China waliopelekewa meno ya tembo. Hawataki pilau za nyama ya tembo mliochukua meno yake, wala kupakiwa kwenye fuso. CCM mpooo??
 
WanaJF nawaombeni mniunge mkono kwa hii ndoto yangu ya siku nyingi. Tangu milieu motto mama yangu alikuwa akiniuliza maswali ambayo majibu yake nilijibu nataka Kuwa RAIS wa Tanzania WA kuchaguliwa na wapiga kula. Kwa sasa niko tayari kuwatumikia watanzania wapenda amani Mola aniongoze kwa hili.


Kuandika yenyewe ni tabu! Sijui hata unataka kusema nini! Si rahisi kihivyo!

Jipange urudi!
 
We unaota ww... co kila ndoto lazima itimie.
 
utakuwa punguani sio bure, unasikia raha kuanzisha uzi
 
Mkuu umenielewa vema. Nataka wapenda kula.
 
Mwacheni bana agombee Urais kama atakuwa na sifa kuliko wengine basi atakuwa rais wa jamhuri ya muungano au anataka kuwa Rais wa Tanganyika kama itarudi? mwacheni atumie haki yake kama raia wengine bana haina noma atakapogombea na kukosa ndio atajua wapi akajisahihishe,maana sio kila ndoto lazima ukamilishe zingine zinakuja tu unapokuwa unarudia uliyokuwa ukifikiria mda flani.
 
WanaJF nawaombeni mniunge mkono kwa hii ndoto yangu ya siku nyingi. Tangu milieu motto mama yangu alikuwa akiniuliza maswali ambayo majibu yake nilijibu nataka Kuwa RAIS wa Tanzania WA kuchaguliwa na wapiga kula. Kwa sasa niko tayari kuwatumikia watanzania wapenda amani Mola aniongoze kwa hili.

ebu kapime akili kwanza maana nawasi wasi na wewe ata nikisoma post yako nabaini mapungufu yako usije ukawa kati ya waliostandadaiziwa matokeo
 
Back
Top Bottom