Nataka kubadili engine ya gari aina ya Isuzu bigon, ili niweke engine nyingine tofauti

Mkuu gear box yako ni auto au manual? Je kama ni auto inakubari kufika speed 120km/h? Je baada ya kubadilisha engine rpm inasoma vizuri,maana, mkuu hata mimi nina mpango huo wa kubadilisha engine pindi hii 4jx1 itakapo dead.
Ipo fresh boss, rpm haikua inafanya kazi toka mwanzo na sijahangaika nayo baada ya kubadili engine. Kwa speed ipo poa. Nilienda nayo tukuyu. 120-140km/h ni kawaida.

Gali imenisumbua kinoma ila ndio ivyo tena nina mahaba nazo. Kuna moja nimeiona i wish to have it. Mambo ya engine nishajua jinsi ya ku deal nayo
Screenshot_2018-09-26-13-48-58-540_com.facebook.katana.png
Screenshot_2018-09-26-13-49-28-393_com.facebook.katana.png
 
Ipo fresh boss, rpm haikua inafanya kazi toka mwanzo na sijahangaika nayo baada ya kubadili engine. Kwa speed ipo poa. Nilienda nayo tukuyu. 120-140km/h ni kawaida.

Gali imenisumbua kinoma ila ndio ivyo tena nina mahaba nazo. Kuna moja nimeiona i wish to have it. Mambo ya engine nishajua jinsi ya ku deal nayo
View attachment 878432View attachment 878431
Asante sana ndugu, ulibadilishia garage ipi? Halafu pia hiyo 4jg2 ni lazima iwe yenye manual injector pump? au ya electronic injector pump?
 
Gear box ni manual, shida kubwa ni kugoma kuwaka , unaweza ukaiwasha na kwenda mbali bila ya matatizo yoyote, na engine yake ina nguvu kama kawaida, shida ni pale utakapo izima, ukitaka kuiwasha haikubali tena hadi hata ndani ya masaa matatu hadi hata manne, kiujumla ni hadi ipoe kabisa.
Sasa si mateso hayo, gari yako unakuwa kama umeiiba bana😂😂😂
 
Back
Top Bottom