shop hapo dar.....nilikuwa niuze nguo,viatu electronics pamoja na fenicha ila naogopa wabongo hatuna culture ya kutoa msaada,wabahiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiii....kila kitu mnataka mletewe tu kma serikali yenu...mie nilitaka nianzishe charity ila ijiendeshe yenyewe bila misaada kutoka nje.....ila ninegundua tumezoeshwa kuwa dependant kuanzia serikalini mpka individual level,kitu kingine tunaumbuliwa na kasumba am sure kuna watu hawatakanyaga 'rebeca-minds charity shop kwa vile ningeuza nguo za mtumba walizovaa wabongo wenzao lol ila ningesema mtumba wa nje wangenunua....SHAME ON YOU WAZUNGU WORSHIPPERS....tubadilike mie natka kusaidia jamii yangu hasa watu walioathrthirika na mental problem kama deppresion anxiety etc...ila naona sitaweza which is sad,anyway kwanza a shy sjui kama ningeweza kumobilize watu,lol.....