Nataka kuanza kunywa pombe, ushauri please

Nataka kuanza kunywa pombe, ushauri please

Moneyowner

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,422
Reaction score
1,253
Kulingana na uzoefu wangu pombe kiasi sio mbaya sana i'm 35+ years
kwenye pombe kiasi kuna advatange sana kama hizi

1- unakuwa na marafiki kibao

2. Ni rahisi sana kupata michongo ya ukweli

3. Kupunguza mastress ya maisha

4. Afu nasikia inaongeza hamu ya kugegeda kwa hiyo ndoa inakaa poa.

Je ni kiasi gani cha bia kinatosha kurefresh mind? Hasa weekend.
 
Kulingana na uzoefu wangu pombe kiasi sio mbaya sana i'm 35+ years
kwenye pombe kiasi kuna advatange sana kama hizi

1- unakuwa na marafiki kibao

2. Ni rahisi sana kupata michongo ya ukweli

3. Kupunguza mastress ya maisha

4. Afu nasikia inaongeza hamu ya kugegeda kwa hiyo ndoa inakaa poa.

Je ni kiasi gani cha bia kinatosha kurefresh mind? Hasa weekend.
Kama ni kwa kazi iyo kreti 10 tu zinatosha
 
Are u real 35 ???? Talk to ya mom man labda ali misplace cheti chako.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kulingana na uzoefu wangu pombe kiasi sio mbaya sana i'm 35+ years
kwenye pombe kiasi kuna advatange sana kama hizi

1- unakuwa na marafiki kibao

2. Ni rahisi sana kupata michongo ya ukweli

3. Kupunguza mastress ya maisha

4. Afu nasikia inaongeza hamu ya kugegeda kwa hiyo ndoa inakaa poa.

Je ni kiasi gani cha bia kinatosha kurefresh mind? Hasa weekend.

umesahau pia ni rahisi kuwa shoga kwani ukishalewa tu masela wanajipozea kiu yao kama kawa. hii ndo mana hata mabinti wengi wanafanyiwa vitendo vya ngono baada ya kunyweshwa pombe
 
Du kumbe kuna hayo tena , sasa nimedili msimamo, sitathubutu hata harufu yake siitaki
pombe nooomaa. Afu mtu uanweza fulia eh!
 
Kulingana na uzoefu wangu pombe kiasi sio mbaya sana i'm 35+ years
kwenye pombe kiasi kuna advatange sana kama hizi

1- unakuwa na marafiki kibao

2. Ni rahisi sana kupata michongo ya ukweli

3. Kupunguza mastress ya maisha

4. Afu nasikia inaongeza hamu ya kugegeda kwa hiyo ndoa inakaa poa.

Je ni kiasi gani cha bia kinatosha kurefresh mind? Hasa weekend.

5.inaongeza ustadi wa kutongoza (kujiamini)
6.inaongeza ubora wa kingereza
 
Ha ha ha ha haaaaaaaaaaa....for the reasons mentioned, you better start with red dry wine ....!
 
35+ still unataka kurudia pombe wenzio wanaelekea kuacha masela hawachelewi kukutia ndim chezea panchi wewe mixer kujitapikia network inakamata tigoo tuu:violin:
:violin::violin::violin:
 
Kuna mix moja nzuri sana.. Changanya kiroba valuu vodka balimi baridi safari moto eagle ya uvunguvugu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kulingana na uzoefu wangu pombe kiasi sio mbaya sana i'm 35+ years
kwenye pombe kiasi kuna advatange sana kama hizi

1- unakuwa na marafiki kibao

2. Ni rahisi sana kupata michongo ya ukweli

3. Kupunguza mastress ya maisha

4. Afu nasikia inaongeza hamu ya kugegeda kwa hiyo ndoa inakaa poa.

Je ni kiasi gani cha bia kinatosha kurefresh mind? Hasa weekend.
5. Unapata mademu wa baamedi
6. Ukirudi home hata mamsap akiwa anasema wee husikii.
7. Hata kama chumba kina mbu, wakikung'ata husikii
Unakua unaongea english mara kwa mara, so unaiozoea na kuijua haraka zaidi.
e.t.c
Anza tu mkuu wangu, kuna faida nyingi sana kupita hata hizo ilizozitaja.
 
kunywa safari lager huku ukifurahia Jagwa bila kusahau Chimbwanga na ule mjani lager pembeni.
Nalog off
 
Usisahau inakurudisha hali ya utoto..... Kujinyea, kujikojolea, kutapika na hata kuchambishwa.....
 
unapata likitmbi kwa kula michemsho,unaanza misifa ya kijinga,una kuwa na mipango kibao haitekelezeki,hujui kesho itakuwaje
 
Back
Top Bottom