Nataka kuagiza gari na AUTOREC

Nataka kuagiza gari na AUTOREC

Forecaster

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2013
Posts
220
Reaction score
149
Baada ya kupitia kampuni nyingi zinazouza magari ya kijapani, hawa jamaa wa AUTOREC naona Wako vizuri. Wana hadi warranty. Kwa wanao ifaham hii kampuni nadhani wapo vyema!
 
Nataka agiza pia mkuu kwa hao hao jamaa naona wadau wako kimya kwa uzi huu
 
Niliwahi fanya nao biashara hii ila ni mud kidogo (2009). Kwa kweli huduma yao ilikuwa ni nzuri sana na Gari langu lilifika katika hali nzuri na kwa muda muafaka.
 
Nadhani ndio wenye magari yenye viwango vya juu kuliko wengine. Bei pia ipo juu!
 
One of the best..Gari zao ni reconditioned kuliko hao wengine wanaleta Kama zilivyotumiwa.. Bei yao iko juu kuliko wengine lakini magari yako Poa
 
Baada ya kupitia kampuni nyingi zinazouza magari ya kijapani, hawa jamaa wa AUTOREC naona Wako vizuri. Wana hadi warranty. Kwa wanao ifaham hii kampuni nadhani wapo vyema!

Nimeagiza gari huko na nitaendelea kuagiza kwao. Tofauti yao na wengine gari zao wanazifanyia service na kuzirudisha kuwa kama mpya hasa hasa katika engine na mifumo yake. Aisee gari zao ni nzuri asikwambie mtu, yaani ni drive away, japo unaweza ukapata challenge kdg lakini wako vizuri mno, kimbembe bei zao zimechangamka kidogo.
 
Autorec wapo tokea Miaka ya 1970's

Hawa jamaa, wanafanya Biashara kuprofessional zaidi. Nimewahi nunua gari nikalitumia kwa miaka 5 huku nikiwa nafanya Regular Service tu. Na hata iliponisumbua CV Joint, ikikuwa ni uzembe wangu kupitisha gari kwenye Madimbwi.

Sema wako Juu kiasi kwa gharama. Kwa vile huwa wanazirekebisha kwanza Gari zao kabla ya kuziuza.
Hivyo ukibahatika kupata hari toka Autorec basi ujue umepata kitu cha uhakika.

Gari mbili nilizowahi kununua toka BeforwArd, nilijisifia kwa bei nzuri kumbe zote zilikuwa Kimeo. Zilikuja zikiwa zimekufa Bearings na nyingine shockups za mbele zikiwa chali.
 
Autorec wapo tokea Miaka ya 1970's

Hawa jamaa, wanafanya Biashara kuprofessional zaidi. Nimewahi nunua gari nikalitumia kwa miaka 5 huku nikiwa nafanya Regular Service tu. Na hata iliponisumbua CV Joint, ikikuwa ni uzembe wangu kupitisha gari kwenye Madimbwi.

Sema wako Juu kiasi kwa gharama. Kwa vile huwa wanazirekebisha kwanza Gari zao kabla ya kuziuza.
Hivyo ukibahatika kupata hari toka Autorec basi ujue umepata kitu cha uhakika.

Gari mbili nilizowahi kununua toka BeforwArd, nilijisifia kwa bei nzuri kumbe zote zilikuwa Kimeo. Zilikuja zikiwa zimekufa Bearings na nyingine shockups za mbele zikiwa chali.

kwa hiyo unasema Be Forward weka mbali na watoto? ficha kabisa juu ya dari wasifikie?
 
Autorec wapo tokea Miaka ya 1970's

Hawa jamaa, wanafanya Biashara kuprofessional zaidi. Nimewahi nunua gari nikalitumia kwa miaka 5 huku nikiwa nafanya Regular Service tu. Na hata iliponisumbua CV Joint, ikikuwa ni uzembe wangu kupitisha gari kwenye Madimbwi.

Sema wako Juu kiasi kwa gharama. Kwa vile huwa wanazirekebisha kwanza Gari zao kabla ya kuziuza.
Hivyo ukibahatika kupata hari toka Autorec basi ujue umepata kitu cha uhakika.

Gari mbili nilizowahi kununua toka BeforwArd, nilijisifia kwa bei nzuri kumbe zote zilikuwa Kimeo. Zilikuja zikiwa zimekufa Bearings na nyingine shockups za mbele zikiwa chali.

Nimesha agiza kupitia kwao mkuu!Kwa kweli gari zao ni nzuri; na zipo reconditioned, wanatoa hadi guarantee ya engine. Wao wanasema wakishacollect used car toka kwa costommer hawaziuzi moja kwa moja kama makampuni mengine wanavyofanya bali wanazileta katika factory zao na kuangalia any defect.
 
Autorec wapo tokea Miaka ya 1970's

Hawa jamaa, wanafanya Biashara kuprofessional zaidi. Nimewahi nunua gari nikalitumia kwa miaka 5 huku nikiwa nafanya Regular Service tu. Na hata iliponisumbua CV Joint, ikikuwa ni uzembe wangu kupitisha gari kwenye Madimbwi.

Sema wako Juu kiasi kwa gharama. Kwa vile huwa wanazirekebisha kwanza Gari zao kabla ya kuziuza.
Hivyo ukibahatika kupata hari toka Autorec basi ujue umepata kitu cha uhakika.

Gari mbili nilizowahi kununua toka BeforwArd, nilijisifia kwa bei nzuri kumbe zote zilikuwa Kimeo. Zilikuja zikiwa zimekufa Bearings na nyingine shockups za mbele zikiwa chali.

ha ha ha pole boss....ukiwaambia watu beforwad wana gar mbovu wanaweza wakakuua
 
SBT ni kampuni kubwa Pia. lakini hawa Autorec ni zaidi, kwani gari zao zinapelekwa factory for any defect. Reconditionning ya gari inafanyika

ukifanya comparison Sbt na Befoward....ip n nzur zaid kwa ubora wa magar na bei????
 
ukifanya comparison Sbt na Befoward....ip n nzur zaid kwa ubora wa magar na bei????
Kwa maoni yangu sbt na beforward iko dugu moja kwa maana ya ubora, yaani ni wastani inategemea na bei uliyonunulia kama ni kubwa ubora pia waweza kuwa mkubwa na factor nyingine ni huyo muuzaji aliyewauzia beforward au sbt kauza kwa bei gani coz mtumiaji wa japan anaweza kuwa na gari zuri sana akaliuza bei ya chini sana so beforward na sbt wao huwa hawachukui faida kubwa kwa gari moja bali wanachukua faida kdg kwa magari mengi. So sbt na befoward kwa ubora tofauti ni ndogo but kwa bei nadhani befoward anaweza kuwa chini kidogo. Ila kwa ubora autorec anawazidi wote japo bei zake ni kubwa. Kwa ubora autorec wanafanana na real motors wana magari mazuri sana bei za wastan.
 
Back
Top Bottom