Rjohn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 613
- 128
habari ndugu zangu wana jf! mimi ni mwanafunz wa mwaka wa 2 chuo cha Ualimu Mororogoro nasomea masomo ya HE(history na kiingereza) natarajia kuhtimu mwakan mwez wa tano! niliingia katka fan hii kutokana na mambo yangu mengne yote kugoma sa naomba kuulza na pengne kupata ushauri je kupitia chet changu cha diproma naweza kupata kaz nyngine tofaut na ualimu! au hata kama ntaendelea mbele kimasomo kupitia chet hcho nkabadili fan na nisiwe mwalimu tena! plz help me! kwa ushauri tu! thanx