Kwanza pole sana!Nilibahatika kuajiriwa katika moja ya kampuni ya wahindi miaka mitatu na nusu iliyopita baada ya kukaa nyumbani bila kazi kwa mwaka mmoja na nusu tangu kuhitimu chuo kikuu.
Nilianza na mshahara wa laki tano (net salary) lakini kwa sasa nakaribia milioni moja (net salary).Kampuni hiyo ni ya kifamilia zaidi,wakati naajiriwa kulikuwa na Managing Director mwanaume ambaye pia ndiye mwanzilishi wa Kampuni hiyo.Kwa bahati mbaya,mwanzoni mwa mwaka jana MD huyo alifariki dunia (R.I.P) na sasa kampuni inaongozwa na mke wake.
Kwa kweli kwa kipindi cha huyo MD wa kwanza mambo yalikuwa poa sana,wafanyakazi tulikuwa tunaheshimika,tunajaliwa na kusaidiwa kwa kila namna ilivyowezekana,lakini baada ya kiti kukaliwa na huyu mama,mambo yamebadilika,dharau,manyanyaso na kila sura ya kihindi unayoijua wewe sisi tunaiona live
lakini jambo la pili,kwa muda wote huo najiona kama sifanyi kitu chochote,hela unaipata hujui inaishaje,wafanyakazi niliowakuta(hata wenye mishahara mizuri) bado wapo ktk lindi la umaskini wa kutupwa kila kukicha najiona kama vile bado sijapata kazi (Kuna kalugha nakasikia mtaani kwamba pesa ya mhindi huwezi kuifanyia chochote).
Baada ya kutafakari hayo yote na mengine mengine sasa nafikiria kuacha kazi hapa.Nafikiria japo kuchukua akiba yangu iliyopo huko kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii ili nijiajiri mwenyewe maana mtaani napo kila siku kilio ni ukosefu wa ajira.
Je,wadau mawazo yangu ni mwafaka?
Naombeni ushauri wenu.
Asante sana mkuu.Nina imani kwamba hapa JF nitapata hekima ambazo zitanisaidia kuchukua maamuzi sahihi.Kwanza pole sana!
Pili ..... (Kuna kalugha nakasikia mtaani kwamba pesa ya mhindi huwezi kuifanyia chochote) .. kuhusu hili binafsi niliwahi kulisikia ila inasemekana kwamba ili uifanyie kazi hiyo hela kuna namna unayopaswa kuifanyia .... kama uko tayari kujuzwa tuwasiliane ...
tatu, binafsi nilishahachana na mambo ya kuajiriwa zaidi ya miaka 5 iliyopita .. kuna msoto kidogo kama wa miezi sita hivi .. baada ya hapo hutapenda ajira tena, .... we piga kazi za mikataba beba kilicho chako, fanyia mambo mengine ya uzalishaji ... mdogo mdogo utasimama ndugu ...
Tatizo ni kwamba elimu ya watanzania inawatia ulemavu ..Asante sana mkuu.Nina imani kwamba hapa JF nitapata hekima ambazo zitanisaidia kuchukua maamuzi sahihi.
naomba niamdike ushauri Wang kwa Herefi kubwa .
USITHUBUTU ,USITHUBUTU,USITHUBUTU ...KUACHA KAZI . TENA KAMA HAUNA KAZI NYINGINE ..
USITHUBUTU UTAJUTA MAISHA YAKO YOTE
Nina mke na mtoto mmoja (mke wangu ni graduate wa ualimu ila bado hajaanza kazi)Una mke na watoto au bado ni 'single boy'? Kabla ya kukushauri tuanzie hapo kwanza...
Daaaa!!hapa sasa ndio huwa nachanganyikiwa.naomba niamdike ushauri Wang kwa Herefi kubwa .
USITHUBUTU ,USITHUBUTU,USITHUBUTU ...KUACHA KAZI . TENA KAMA HAUNA KAZI NYINGINE ..
USITHUBUTU UTAJUTA MAISHA YAKO YOTE
Utanzania wangu utamsadia Hutu mtu..MTANZANIA HALISI HUYU!!!!
Nimesoma Madrassa mkuu.Haya,toa ushauri wako
dah! kweli humu kuna vichwa, ushauri muhimu ndugu yangu hata kama mtu kasomaUNASEMA UMESOMA MPAKA CHUO?...NAOMBA NIAMINI SIO CHUO KIKUU ULICHOSOMA...MTAANI KWETU KUNA WATOTO WANASOMA CHUO CHA MADRASSA...KWAHIYO NA WEWE UMESOMA CHUO CHA MADRASSA...SI NDIO?
THIBITISHA CHUO ULICHOSOMA ILI NITOE USHAURI...KAMA UMESOMA CHUO KIKUU NA UNA UZOEFU WA MAISHA BAADA YA CHUO KIKUU (UNIVERSITY EDUCATION WITH A BACHELOR DEGREE) HUSTAHILI KUPEWA USHAURI NA NINGEOMBA MODS WAIFUTILIE MBALI HII MADA YAKO.
ILA KAMA UMESOMA CHUO KWA MAANA YA MADRASSA......THIBITISHA UPATE USHAURI HARAKA SANA.
Hongera sana, ndivyo ulivyo siwezi lumbana na weweHalafu ww mtu una akili za kitoto . hii thread haikufai .@Tutor B.
Nimekusoma mkuu!!KWA ELIMU YA MADRASSA..AKA CHUO... NI KWELI KABISA PESA YA MUHINDI HUWEZI KUIFANYIA SHUGHULI YA MAENDELEO SABABU INAKUWA INA MAJINI.
PILI KUHUSU KUACHA KAZI..USIACHEEE...UKIACHA UTAENDA WAPI NA MTAANI MAISHA MAGUMU...KOMAA HAPOHAPO KWA MUHINDI ILA CHA KUFANYA UWE MTU WA KUJIPENDEKEZA KWA BOSS NA KUMPA MAJUNGU YA WAFANYAKAZI WENZIO
PIA USIWE MTU WA KUPIGA PAMBA..UKIWA UNAVAA SANA BOSS ATAJUA ANAKULIPA PESA NDEFU HIVYO ATAKUPUNGUZIA HICHO KI MILIONI NA ATAKULIPA LAKI 3. JITAHIDI UWE MTU WA KULIALIA KILA SIKU SHIDA KWA BOSS NA UWE MTU WA KUKOPAKOPA KWA BOSI WAKO,...
KUHUSU HELA YA MUHINDI NA WAPEMBA KUKAA NA KUFANYIA MAMBO YA MAENDELEO..KWANZA HAKIKISHA BOSS HAKULIPI MSHAHARA KWA KESHI...AWE ANALIPIA BANKI. KWA VILE NAO WAJANJA WANATAKA KUKUPA CHUMA ULETE WATAKULAZIMISHA KUKULIPA KESHI...SASA NITAKUPELEKA KWA MTAALAMU AKAKUPE DAWA NA MAFUSHO...UTAFUNGA HIRIZI SIKU YA KUPOKEA MSHAHARA UNAIVAA...PESA ITAKAA TUU.
DOZII HII INAKUTOSHA KWA KUANZIA HASA UKICHUKULIA MADRASSA HUKUPEWA MAUJANJA HAYA...HAYA YANAITWA ELIMU DUNIA...ELIMU AKHERA IPO NA KUNA WATAALAMU WAKE..MIE KWA LEO SITOKUFUNDISHA ZAIDI YA HAPO.
Uache Utoto kwnye Mambo ya Msingi . ..Hongera sana, ndivyo ulivyo siwezi lumbana na wewe
Nimekusoma mkuu!!