Natafuta zao la dengu

Natafuta zao la dengu

subzero

Member
Joined
Jan 15, 2011
Posts
86
Reaction score
5
Habari za sahizi. Natafuta watu wanaoweza kuniletea zao la dengu kwa kiasi chochote kinachopatikana. Pia tunaweza kufwata uliko. Kama kuna mtu unamfahamu tafadhali wasiliana nami tuongee vizuri
0625748072
 
Wenzako wanaweka bei gani ambayo umepanga kwatani au kwakilo watu wangaliae ofa Mkuu wakivutiwa utawaona mpk mzigo utaukataa
 
Haya endelea kusubiri wakupigie simu. Tulioko huku wilayani makampuni yanayo nunua yashatuma watu wao tayari tunaishi nao
 
Habari za sahizi. Natafuta watu wanaoweza kuniletea zao la dengu kwa kiasi chochote kinachopatikana. Pia tunaweza kufwata uliko. Kama kuna mtu unamfahamu tafadhali wasiliana nami tuongee vizuri
0625748072
Weka bei unayonunulia, usiwe kama biashara za mitandaoni huzijui.
 
Ishu sio Dalali ishu nifulsa naweza ingia shamba nikafuata mzigo ukaja sasa udalali upo wap
 
Back
Top Bottom