Natafuta wateja wa Cement ya Dangote

Natafuta wateja wa Cement ya Dangote

MASOKO

Senior Member
Joined
Mar 9, 2011
Posts
121
Reaction score
17
Nipo dar natafuta wateja watakaoweza kununua cementi ya dangote kwa Bei ya jumla.kuanzia mifuko Mia sita yaani gari moja uneletewa popote Tanzania Bei 12960.karibuni sana mfumo wa malipo ni cash .reja reja 13500.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh. Yani kumbe nikibet nikala 10,000 ni sawa na faida ya aliyeuza mifuko 20 ya cement!
 
Nipo dar natafuta wateja watakaoweza kununua cementi ya dangote kwa Bei ya jumla.kuanzia mifuko Mia sita yaani gari moja uneletewa popote Tanzania Bei 12960.karibuni sana mfumo wa malipo ni cash .reja reja 13500.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja kwanza niulize bei ya Kiwandani gari moja ni kiasi gani then nitarudi kwako.
 
Nipo dar natafuta wateja watakaoweza kununua cementi ya dangote kwa Bei ya jumla.kuanzia mifuko Mia sita yaani gari moja uneletewa popote Tanzania Bei 12960.karibuni sana mfumo wa malipo ni cash .reja reja 13500.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli Dangote mmeleta heshima sana. Manina zao Twiga Cement na wenzao pande za Tarime Cement ilikuwa mpaka 21,000 lkn Dangote elf 16 unakamata Cement 42.2
 
Back
Top Bottom