Investaa
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 916
- 933
Habari wa jukwaa!! Husika na kichwa cha habari pale juu, kuna wazo ambalo nimerifkiria nadhan watu wengi watafaidika kuhusiana na elimu ya mambo ya ufugaji na kilimo ambao watu wengi tunataman kujiusisha kwa bahati mbaya hatuna elimu ya kutosha, kutokana na tatizo hilo nilikuwa naomba kwa wataalam wa kilimo na ufugaji au wajasiriamali ambayo wanafanya shughul hizo kwa kuandaa article zao kwa lengo la kujitangaza kama biashara na kuelimisha watu kuhusu ufugaji na kilimo kupitia jukwaa(platform) ambalo ntailengeneza kama watu wengi(Wataalam) watajitokeza kuelimisha raia. Ni hayo tu asantee.
********************Naomba utu mzima utumike katika ushauri***************************************
********************Naomba utu mzima utumike katika ushauri***************************************