incinc Member Joined May 23, 2023 Posts 17 Reaction score 24 May 24, 2023 #1 Wanaforum naomba kujua kwa yeyote mwenye kujua sehemu wanapouza mayai ya jumla kwa Dar es Salaam. Trey ni sh ngapi na unatakiwa kuchukua trey ngap ili upate kwa bei ya jumla?
Wanaforum naomba kujua kwa yeyote mwenye kujua sehemu wanapouza mayai ya jumla kwa Dar es Salaam. Trey ni sh ngapi na unatakiwa kuchukua trey ngap ili upate kwa bei ya jumla?
danhoport JF-Expert Member Joined May 20, 2020 Posts 2,099 Reaction score 4,802 May 24, 2023 #2 Kariakoo mtaa Sikukuu na Udoe Kariakoo mtaa wa Sikukuu na Kariakoo Hiyo mitaa yote miwili wanauza jumla
Kariakoo mtaa Sikukuu na Udoe Kariakoo mtaa wa Sikukuu na Kariakoo Hiyo mitaa yote miwili wanauza jumla
Freyzem JF-Expert Member Joined Jun 29, 2013 Posts 10,180 Reaction score 24,801 May 24, 2023 #3 Muone Bony aliyekuwa Mayor wa Ubungo!