NATAFUTA WA KUOA FROM KAGERA

NATAFUTA WA KUOA FROM KAGERA

Admin1988

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2017
Posts
1,611
Reaction score
1,864
HABARI wakuu
Naomba aliye SERIOUSNESS ani PM
umri wangu below 31 yrs
Awe above 23 yrs
I'm God fearing
Niko MWANZA NYAMAGANA

Nashukuru
 
Panga safari uende huko kagera wako wa kumwaga,

Unapenda katerero
 
HABARI wakuu
Naomba aliye SERIOUSNESS ani PM
umri wangu below 31 yrs
Awe above 23 yrs
I'm God fearing
Niko MWANZA NYAMAGANA

Nashukuru
Nenda hapo bandarini muda meli ya kutoka bk inashusha abiria utapata wa kutosha
 
Tabia zao hasa ambazo ni mbovu ni kama zipi??
Wanagawa sana k
Ila ukitaka mwanamke wa kihaya aliyetulia basi nenda huko Kagera vijiji vya ndanindani kabisa kama Ngote,Mbunda,Ikondo na huko Ruhita.
Ukichukua hawa wakina Kokugonza Rweyemamu wa hapo Muleba na Bukoba town jiandae kisaikolojia.
 
Sogea hapo kirumba kuna mtaa unaitwa mtaa wa bukoba
wapo wengi tu unaokota
wanamiguu mizuri sana kwa kweli
 
Njoo hapa katahoka
Utawapata wanapenda katerero hatari
 
Wanagawa sana k
Ila ukitaka mwanamke wa kihaya aliyetulia basi nenda huko Kagera vijiji vya ndanindani kabisa kama Ngote,Mbunda,Ikondo na huko Ruhita.
Ukichukua hawa wakina Kokugonza Rweyemamu wa hapo Muleba na Bukoba town jiandae kisaikolojia.
Hivyo Vijiji vyote navipata vema...umetisha....sema kugawa k ni hulka ya mtu mmoja mmoja sio majumuisho Mkuu
 
Inawezekana naye ni Muhaya,kwa hiyo watawezana
Wanagawa sana k
Ila ukitaka mwanamke wa kihaya aliyetulia basi nenda huko Kagera vijiji vya ndanindani kabisa kama Ngote,Mbunda,Ikondo na huko Ruhita.
Ukichukua hawa wakina Kokugonza Rweyemamu wa hapo Muleba na Bukoba town jiandae kisaikolojia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom