Mwehu Mweusi
Member
- Aug 14, 2016
- 5
- 0
Najua kwamba fiction crime za James Hadley Chase zimesomwa na watu wengi sana na kwa mimi ni vitabu pekee ambavyo viliweza kuweka picha ya action kama a movie kwa kupitia maneno tu, nimesoma vitabu vyake vitatu na sasa nimegundua kwamba kabla hajafa ameandika vitabu zaidi ya 80(sina uhakika kuhusu idadi), lakini japokuwa naishi dar es salaam, kuvipata ndyo imekuwa kazi japokuwa sio vitabu hadimu kwa watu wengi, kama kuna mtu anaweza kuniambia sehemu za Dar ninapoweza kuvipata na bei za vitabu kwa sababu mimi sio mtu anaetembelea book shops sana
Ahsante sana kwa mtu atakeyenisaidia, vitabu hivi vilinisaidia sana kwenye mazingira ya shule ambapo vitu kama simu na TV havipatikani kiurahisi na maisha yangu ya shule siwezi sema kwamba yalikuwa mazuri sana
Ahsante sana kwa mtu atakeyenisaidia, vitabu hivi vilinisaidia sana kwenye mazingira ya shule ambapo vitu kama simu na TV havipatikani kiurahisi na maisha yangu ya shule siwezi sema kwamba yalikuwa mazuri sana