Natafuta vijana wa kufanya pamoja project

Natafuta vijana wa kufanya pamoja project

Wapendwa nilipotangaza nafasi za kujitolea nililenga kuwasaidia vijana wenzangu ili tuweze kufanya kazi kwa ushirikiano baada ya kuona wengi wetu hawana kazi za kufanya na kwakua lengo letu ni kuwafikia vijana wengi tanzania tuliona inafaa kuwachukua vijana wapatao 30 na kuwapa mafunzo but tatizo lilikuja ni moja nalo likatufanya tusitishe zoezi letu kutokana na vijana wenzetu kushindwa kutumia fulsa hii ya kujitolea katika kufanya kazi hii ya kijamii .
 
Eleza project gani? na iweje? na unataka vijana wakusaidie katika lipi? maana siku hizi matapeli wengi.
 
Back
Top Bottom