Natafuta vijana wa kufanya pamoja project

Natafuta vijana wa kufanya pamoja project

0653110110 wasiliana na uyu mtu anakituo chake cha wala dawa za kulevya na anavijana we g wanao tumia na wasio tumia mnaweza
Mkafanya kitu
 
Ni kwa muda gani mkuu? Then baada ya hapo inakuwaje? Nifahamishe vizuri tafadhali.
 
Inahusisha mikoa gan na inakuaje ukitaka kushiriki
 
Inahusisha mikoa yote tanzania na sio lazima uwepo.dar na ni.ya mwaka mzima na itakua endelevu kwa miaka yote
 
Angalia kupitia youtube kipindi cha mimi na tanzania na dawa za kulevya
 
Asante wote mlioonyesha interest ya kujiunga nasi shukran sana idadi imetimia wengine tukutane tena wakati mwingini mlionitext nimewazingatia wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom