natafuta video camera Canon 7D

kdany

Senior Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
149
Reaction score
25
habar wakuu....km kuna mtu anayo video camera aina ya Canon 7D used...tuwasiliane kwa...#0719477815
 
Sijawahi kusikia kama kuna video camera Canon 7D,au unamaanisha Canon 7D ambayo ni DSLR lakini wengi huitumia kwa kurekodi video,ni kama Canon 5D mark II /III(full Frame) zinavyotumika kuchukulia video ila kwa kuwa zinabei kubwa inabidi wengi watumie hiyo Canon 7D ambayo ni APS-C
 
Kama ni canon 7D used ni kwenye million 2 sh kuendelea
 
Kama ni canon 7D used ni kwenye million 2 sh kuendelea

Ila siku hizi zimeshuka kama upo Ulaya au States unapata hat kwa Usd 700,kuna tetesi inakuja Canon 7D Mark II,nasikia pia ilitumika huko Brazil kwenye world cup kwa ajili ya majaribio ingawa ilikuwa imefunikwa na kitambaa isijulikeni lakini wajuzi wa mambo wanadhani ndio yenyewe,kusema ukweli hii ni camera nzuri sana kwa zile zisizo za full frame
 
nielekeze wapi ninunue kwa dollar 700
 
nielekeze wapi ninunue kwa dollar 700
Mkuu, sahau kupata hiyo kitu kwa dollar 700. Hii kitu mimi ninayo (CANNON 7D Camera EOS) ni camera mzuri sana lakini ni expensive pia.
 

Hii kitu hata mimi nimeisikia lakini sina uhakikanacho naona ni kama hear say tu…na hata kama ikitoka basi hazitapishana kwa ubora wala bei. All in all Cannon 7D is the best camera
 
Mkuu, sahau kupata hiyo kitu kwa dollar 700. Hii kitu mimi ninayo (CANNON 7D Camera EOS) ni camera mzuri sana lakini ni expensive pia.
nilitaka kumshangaa aliposema anaweza kupata kwa dollar 700
 
habar wakuu....km kuna mtu anayo video camera aina ya Canon 7D used...tuwasiliane kwa...#0719477815
hiyo Mpya itapatikana around 4,100,000/= complete Kit ( Canon EOS 7D Digital SLR Camera Body +7 Lens ) ​from USA..
 
nilitaka kumshangaa aliposema anaweza kupata kwa dollar 700

Hawezi kupata kwa bei hiyo hii Camera...hiyo yakwangu hapo pichani imenigharimu zaidi ya Tshs millioni tano(full kit) pamoja na big bag yake.
 
nielekeze wapi ninunue kwa dollar 700

B&H na pia Wex ulizia used a ni body tu,nimesema used sababu mdau anahitaji used,haya nafikiri sasa utaenda nunua.pia unaweza kucheck Ebay
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…