Husika na kichwa cha habari hapo juu, natafuta vijana wenye nia ya zati ya kutafuta pesa na kutoka kimaisha na wenye kipaji cha kuigiza filamu, karibu katika kikundi chetu uweze kuonyesha kipaji chako, elimu kuanzia form four kuendelea mbele!
Kikundi cha nn? unatafuta artists wa kujiunga na kikundi au wa kufanya film? kigezo kwa leval ya form four cha nn? hujui kuna artists wazuri wapo uswahilini? bora ungesema artist awe mzungumzaji mzuri wa Kiingereza.
Habari,husika na kichwa cha habari hapo juu,natafuta vijana wenye nia ya zati ya kutafuta pesa na kutoka kimaisha na wenye kipaji cha kuigiza filamu,karibu katika kikundi chetu uweze kuonyesha kipaji chako,elimu kuanzia form four kuendelea mbele!
kama upo serious mimi natokea dar ila kwasasa nipo zanzibar napiga kazi na jamaa wa kimarekani ambao ni proffessional kwa movie acting.naweza kufanya link na wewe ili tuweze fanya kitu maana laziwa uwe na exposure ya kutosha ili uwe very competent kwenye ulimwengu wa movies internationally or anyone interested to make business with me check me pmetthew@yahoo.com.tunamaidea mengi ambayo huwez yapata bongo movies.