Natafuta TV inch 43-49

Natafuta TV inch 43-49

smart fog

Member
Joined
Jul 19, 2020
Posts
42
Reaction score
18
Nipo Dar es Salaam Mabibo sharti iwe ya kwako mwenyewe.

Offer ya mezani ni 300k adi 350k inategemea na ubora wa TV na kampuni.
 
Nipo dar es salaam mabibo sharti iwe ya kwako mwenyewe.

Offer ya mezani ni 300k adi 350k inategemea na ubora wa TV na kampuni
Mkuu kwa hizi bei ulizoweka kama utafanikiwa kupata TV basi jiandae kuwalaumu services provider, utasikia Azam picha zao mbaya, mara utasema picha zao sio HD kumbe tatizo lipo kwako
 
Inch ngap!?
42
1670303373539.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom