Natafuta tractor used 4WD

Pia kuna mashirika,viwanda na taasisi flan kwa baadhi ya mikoa huwa naona wanamiliki matractor,hv nayapataje yale nikitaka waniuzie used😀
 
Pia kuna mashirika,viwanda na taasisi flan kwa baadhi ya mikoa huwa naona wanamiliki matractor,hv nayapataje yale nikitaka waniuzie used😀
 
Itakukosti sama bora uende zinakouzwa unatoa hela nusu unakopeshwa unachukua mpya kabisa mbaona inawezekana kwani wee uko wapi
 
Mkuu samahani ,kama unaweza kufafanua kidogo hapo unaposema swaraj 744 nyota 1 na nyota 4 inamaanisha nini?
Pili,hapo kwenye staring ya upepo ndo ile kwamb staring unazungusha kwa kidole?
hiyo nyota nne ndo ya upepo unagusa tu af difu kubwa kwhy inapita hat sehemu mbaya mkuu.Kwa nyota 1 hii ni ya kawaida tu ila kwenye kilimo hii inakimbiza kuliko nyota 4
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…