Asante wakubwa ila nasikia kuna gps locator inayotumia android technology na ni ndogo 10mm x 30mm, inatumia google ya kawaida, eti inakuwa programmed na simu ya android kwa mtandao wa tigo, airtel au voda afu unatumia google map kuonyesha movements. Naomba anayejua anipe maelezo members.