Natafuta Tracking Devices

spade4spade

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
2,207
Reaction score
2,158
Habari members, ninauliza wapi naweza kupata tracking devices zinazoonyesha ramani ili nifunge kwny boda boda yangu, naona boda wangu anakwenda maeneo yasiyoruhusiwa! Msaada members!
 
Utrack Africa Ltd.

Google hiyo kampuni kati ya mengine mengi watakusaidia.
 
u track wapo pale mbuyuni karibu na st peter.
 
kufunga kwenye bodaboda? hata usifikirie, n ghali sana. kama unaweza jaribu , utrack wapo mbele ya moroco pale, mbuyuni , mkono wa kulia kama unatokea morocco kwenyewe
 
car track ni us $ 350 per year
ila niliona kenya wanasoft ware moja unaweka kwenye simu inakuonyesha bodaboda ambayo ipo karibu na wewe then unampigia anakuja kukuchukua
nafikiri ongea na wataalamu wetu IT kama wanaweza fanya hiyo kitu,maana niliona ni rahisi na salama
 
Asante wakubwa ila nasikia kuna gps locator inayotumia android technology na ni ndogo 10mm x 30mm, inatumia google ya kawaida, eti inakuwa programmed na simu ya android kwa mtandao wa tigo, airtel au voda afu unatumia google map kuonyesha movements. Naomba anayejua anipe maelezo members.
 
Kama unahitaji trcking device tuwasiliane zipo kwa bei rahisi sana tsh 250,000 tu. Tupigie 0717057552 au 0764818022
.
 
Laki na nusu tu swahili phone kariakoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…