Dah Hata Mie Nahitaji iwe Fresh kabisa na ya Mwaka 2004 vizuri iwe haijatumika.. I mean haiachiwa Mababuri ya kibongo Offer yangu hadi kumi na mbili nitatoa
Kwa anayeuza Toyota Premio 1800cc, iliyo katika hali nzuri.Bei isizidi 7M.
Hivi wachangiaji huwa mnaelewa tangazo.
Kwa nini??