pdozen_nation
Member
- Nov 12, 2015
- 50
- 117
Hivi wakuu nawezaje kupata utingo wa malori sijasomea ufundi ilaa napenda kufanya kazi iyoo kama una connection waku na pia kama kuna changa moto zake mniambie mapema
Utingo wapo, sema kujuana, yule anamsaidia kushusha mizigo, hata kubadilisha tairi,dereva Kama tuseme chawa wa derevaMmh hamna kazi ya utingo Dunia hii, somea udereva au UFUNDI
Nnavyojua yule unamuita utingo ni dereva anaetafuta experience ya kazi ndio maana jamaa hapo juu amemshauri asomee udereva na asilimia kubwa madereva wameanzia kuwa utingoUtingo wapo, sema kujuana, yule anamsaidia kushusha mizigo, hata kubadilisha tairi,dereva Kama tuseme chawa wa dereva
Kusomea ni vizuri zaidi, Ila wengine wamejifunzia humohumo na walikuwa hawajui gari.Nnavyojua yule unamuita utingo ni dereva anaetafuta experience ya kazi ndio maana jamaa hapo juu amemshauri asomee udereva na asilimia kubwa madereva wameanzia kuwa utingo