Natafuta Tablet kwa bei nafuu

Natafuta Tablet kwa bei nafuu

Mig8

Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
15
Reaction score
2
Wadau habari ya leo? Nahitaji kununua tablet iwe nzuri na kwa bei nafuu. Naweza kupata wapi?
Naomba msaada tafadhali
 
Ninayo galaxy tab s tsh 600000 nitafute kwa namba 0713449460./0784449460
 
1472044121411.jpg
1472044129071.jpg
1472044137240.jpg
 
Wadau habari ya leo? Nahitaji kununua tablet iwe nzuri na kwa bei nafuu. Naweza kupata wapi?
Naomba msaada tafadhali
Kuna tablet za OS tofauti tofauti
- Windows
- Android
- iOS
Je unahitaji ipi?
 
Kuna tablet za OS tofauti tofauti
- Windows
- Android
- iOS
Je unahitaji ipi?
Nimezoea kutumia Android, lakin nahitaji na ushauri pia kama hizo iOS na Window ziko vizuri zaidi ya Android nipatie bei tafdhali na mawasiliano
 
Tablets it1702
Internal 16GB
Ram 1GB
camera 8Mp both
Tsh 220000
0765919620
0676848323
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom