wadau kwa waelewa wa studio za kurekodi nyimbo za injili yenye viwango vya hali ya juu mnisaidie kuijua na bei zake ikiwezekana.
...shukrani kwa msaada na ushauri wenu...
wadau kwa waelewa wa studio za kurekodi nyimbo za injili yenye viwango vya hali ya juu mnisaidie kuijua na bei zake ikiwezekana.
...shukrani kwa msaada na ushauri wenu...
naamini nyimbo zangu ni nzuri kama ntapata studio, na producer mwenye viwango vya ukweli, nimeona waimbaji wengi wanarekodi za mitaani na nyimbo zao zinaishia tu mtaani kwao, cjui tatizo nnini. nisingependa initokee ivyo, natamani kutoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.