Wakulima wa kitunguu mangola karatu walikuwa wanapeleka wao wenyewe darfur sudan nakuuza kwa dola,wakaonywa na madalali wakenya mmeingilia dili yetu hawakusikia,biashara ikanoga,wakenya wakawafanyizia huko huko darfur kila mtu alirudi na njia yake,hakuna mwenye jibu hela imeenda wapi.wote walitapeliwa.kabla ya hapo wakenya ndyo walikuwa wananunua kitunguu mangola karatu nakupeleka darfur sudan.