Natafuta soko la soya

Mimi nahitaji kwa ajili ya kitengeneza unga wa lishe
Naomba namba yako nikuungishe
 
<br /><br />Ahsante sana,ntajitahidi nami kutafuta contacts zao

Contact.
Operation manager 076265212[/QUOTE]
Aisee mkuu hii namba haijatimia. Mimi pia nna shida na hawa watu wa SilverLands
 
Nijuze




kama una chochote kwa ajili ya export from TZ



0676019019

WhatsApp or call me
 
Habari wakuu, Nina tafuta soko la soya ninazo nyingi Sana naomba kufaham masoko yake niwapi hasa maana kwa Sasa ninawauzia watu waliopo kwenye masoko yakawaida Ila nataman kupanua soko zaidi naomba tuwasiliane 0653240453, kitu kingine ambacho ninacho ni asali ya nyuki wakubwa Mbichi pamoja na nta zakutosha kabisa. Nawakaribisha Sana waheshimiwa tuweze kufanya biashara.
 
Njoo pm
 
Bei yao ni 800/ kg
Waone "Silverlands Tanzania Limited, a newly established agricultural company focused on animal feed and poultry production based in Iringa Tanzania"

Nimejaribu google contas zao but in vain,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…