Natafuta Soko la Samaki

Natafuta Soko la Samaki

bintimzalendo

Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
74
Reaction score
30
Nauza samaki sato na sangara jumla na rejareja hapa jijini Dar. Natafuta tenda za samaki eneo lolote Dar, mahotelini, maofisini, mashuleni na hata kwa wafanyabiashara wa reja reja (wenye mabucha ya samaki)
 
Kwa sasa naingiza mizigo ya sangara kwa wiki mara mbili hadi tatu kilo kwa jumla 4600/=
 
Duka lipo mbagala, nipm kwa mawasiliano zaidi au piga no 0652436216
 
Nauza samaki Sato jumla na rejareja, kuanzia maeneo ya bagamoyo hadi mwenge uunaletewa ulipo, simu no. 0755002321, 0628081201 au 0715496053.
 
Back
Top Bottom