Natafuta soko la Samaki wabichi kutoka Mwanza

Natafuta soko la Samaki wabichi kutoka Mwanza

Niko dar kaka..kama vipi tuwasiliane


Weka hapa aina ya samaki ulionao sokoni, kama haitakuletea ukakasi weka na bei zake na kwangu mimi utanisaidia sana kama utaweka namba ya simu ili tuanze biashara mapema iwezekanavyo...
 
mkuu nauza sangara wabichi na kambale,bei ni 4800 kwa kilo mkuu
 
ofisi ziko ubungo,riverside, popote Dar es salaam tutawajibika kukuletea mzingo kwa kilo zozote utakazokua unaitaji, ukitoa order mzigo utakua derivered hapo ulipo na malipo ndo yanafanyika karibu sana mkuu.
 
Jaslaws, nakamilisha zoezi moja tuanze kazi na endapo utapata sato au hata perege utakuwa umenisaidia sana. Stay tuned.
 
Last edited by a moderator:
Tafadhali weka mawasiliano yako hapa ama nipigie namba yangu 0767 235923.
Samahani mkuu hii biashara niliachana nayo nafanya mambo mengine kwa sasa..!!
 
Back
Top Bottom