Natafuta soko la mbegu za ubuyu

Natafuta soko la mbegu za ubuyu

M18

Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
76
Reaction score
28
Habari ndugu zangu,
Natafuta soko la mbegu za ubuyu, kila baada ya cku 3 nakusanya gunia, hivyo wote wenye kazi nazo km kuchanganyia kwnye chakula cha kuku,nguruwe n.k.
Naomba ni pm tuyajenge.
Check picha ni baadhi ya mbegu zenyewe
IMG_20190803_145621_7.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom