Mahindi mwaka huu sio biashara wakulima wamepata mazao lakini soko hakuna.mahindi ya dodoma yanauzwa 300 kwa kilo.tanga 150.morogoro 200.imekua hasara kwa wakulima. Wafanya biashara wakubwa hawawezi kununua bado wana stock ya mwaka jana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.