Natafuta soko la Mabanzi ya kujengea mabanda

Joined
Jul 12, 2013
Posts
43
Reaction score
14
Wadau mm nipo mkoa wa Iringa natafuta soko au watu binafsi wenye uhitaji wa mabanzi au makapi ya mbao mkowa wowote tuwasiliane ili tufanye biashara namba yangu ni 0767879732.

Hii ni picture ya mabanzi.
 
Makubwa sana mtu wangu, ni ya miti gani???
 
Wadau mm nipo mkoa wa Iringa natafuta soko au watu binafsi wenye uhitaji wa mabanzi au makapi ya mbao mkowa wowote tuwasiliane ili tufanye biashara namba yangu ni 0767879732.

Hii ni picture ya mabanzi.View attachment 271325View attachment 271326
Mi nayahitaji..... bei gani... ukubwa gani na usafirishaji uko vipi... yafike songea-peramiho hospital

Sent from "La -Vista"
 
Niko Iringa nna hitaji saaana mno yani Mungu yuko nami em nipe bei boss.. Bei ya shamba apo niaje fanya 800 nije kuchukua mwenyewe kokote. ulipo..

Agro Business Iringa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…