Natafuta soko la asali na nta

Natafuta soko la asali na nta

kwini

Member
Joined
Dec 31, 2011
Posts
39
Reaction score
5
Wapendwa wana JF naomba muongozo wenu.natafuta soko au wateja wa jumla wa nta na asali.nitafurahi zaidi nikipata wateja wanaoexport kwa ajili ya bei nzuri.kwa yeyote anayejua vizuri kuhusu hili naomba anisaidie hata mahali sahihi pa kuanzia mn nilikwenda tantrade sikupata taarifa yeyote ya kunisaidia.
 
Wapendwa wana JF naomba muongozo wenu.natafuta soko au wateja wa jumla wa nta na asali.nitafurahi zaidi nikipata wateja wanaoexport kwa ajili ya bei nzuri.kwa yeyote anayejua vizuri kuhusu hili naomba anisaidie hata mahali sahihi pa kuanzia mn nilikwenda tantrade sikupata taarifa yeyote ya kunisaidia.

asali unayo kiasi gani? nyuki wakubwa au wadogo? nipe bei kwa tani 1
 
Yes am serious.nyuki wakubwa ila bado nakusanya mzigo kupitia vijana wangu Tabora nitajua baadae kidogo kuhusu jumla ya tani na bei baada ya kujua gharama za usafiri pia.asante kwa ushirikiano.
 
Yes am serious.nyuki wakubwa ila bado nakusanya mzigo kupitia vijana wangu Tabora nitajua baadae kidogo kuhusu jumla ya tani na bei baada ya kujua gharama za usafiri pia.asante kwa ushirikiano.
sasa hata gharama za uzalishaji bado hujajua je uta bagaign vipi bei na mteja? mteja akikuambia umuuzie sh.4,000 kwa lita au kilo na umpelekee dar utakubali? Fanya utafiti kwanza ujue gharama zako hata kwa makadilio
 
Wapendwa wana JF naomba muongozo wenu.natafuta soko au wateja wa jumla wa nta na asali.nitafurahi zaidi nikipata wateja wanaoexport kwa ajili ya bei nzuri.kwa yeyote anayejua vizuri kuhusu hili naomba anisaidie hata mahali sahihi pa kuanzia mn nilikwenda tantrade sikupata taarifa yeyote ya kunisaidia.
Hellow, habari yako, Mimi ni Mjasiriamali Mgunduzi.niatumia wax kama raw material kufanya kazi yangu.tafadhali nahitaji nkujua upatikanaji wa Nta na wingi wake,pia nahitaji nkufahamu kuhusu bei ya ujumla hapo na ikiwa utasafirisha kwenda mikoa ya pembezoni mfano Mwanza.mawasiliano yangu 0625-77- 59 -27.Ahsante
 
Back
Top Bottom