sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
Kwa mwenye kuuza simu iliyotumika samsung galaxy s3 mini, tafadhari nipatie bei na contact zako.
Kwa mwenye kuuza simu iliyotumika samsung galaxy s3 mini, tafadhari nipatie bei na contact zako.
Thank you dudes gonna check.. somebody just called me to go have a look.
Kuwa mwangalifu sana! Watu wanauziwa clone!!
Alafu hizo simu sa hivi zipo nyingi sana town
Kuwa mwangalifu sana! Watu wanauziwa clone!!
Mkuu,
Nitajuaje kama ni feki?
Tafadhari unaweza nipa ujuzi hapo.
Ni kweli. Mi nina SIII mini nikaona ya mwingine ni majanga ni feki yake na inamsumbua sana
Sio mtaalam sana wa simu ila vitu kama RAM ni half ya real one,internal memory wanasema ni 8gb ila sio kweli ni kama 158mb nadhan kitu kama hcho,alaf ile nembo ya samsung inafutika ya mbele na nyuma...kamera haiko sawa haitoi picha nzur kama real one na vitu kama hvyo
Mi niliiona kwa mtu baada ya kuchunguza vitu kama hvyo nikagundua hakuna kitu hapo Mchina did it again!
But ukiwekewa hapo kwa kuziangalia tu hakuna tofauti
Thanks Mkuu.
Kuna mtu mmoja amenipigia nikaione amesema internal memo ni 16gb na ram ni 1gb.. kama nikikuta ni kweli unadhani inaweza kuwa orijino?