Ninayo..ila ni used..nicheki PMTafadhali mwenye kufahamu wapi nitapata aina ya simu niliyoitaja hapo juu kwa hapa Tanzania. Iwe mpya, ya toleo la karibuni. Asante.
we una model ipi mkuu?Ninayo..ila ni used..nicheki PM
We inaonekana unajua simu..
Xiaomi is the best chinese phone.
mkuu unaweza kunisaidia sehemu naweza kupata display ya xiaomi redmi note 3?? maana hii simu inaniuma sana nikiiangalia na nimeinunua juzi tuu kwa mhandisi wa kichinaNinayo..ila ni used..nicheki PM
We inaonekana unajua simu..
Xiaomi is the best chinese phone.
Giants wanazomkuu unaweza kunisaidia sehemu naweza kupata display ya xiaomi redmi note 3?? maana hii simu inaniuma sana nikiiangalia na nimeinunua juzi tuu kwa mhandisi wa kichina