Ananias Salvatory
Member
- Jul 25, 2016
- 24
- 13
Ndg watanzania, wadau wa elimu na wamiliki wa taasisi za kielimu, natafuta ajira ya ualimu ktk somo la geografia kwa vidato vyote yaani kidato cha kwanza hadi cha sita, shule yoyote na katika mazingira yoyote ndani na nje ya tanzania. Natumaini litasomwa na kama uko tayari hata kwa ushauri tuwasiliane kupitia namba ya simu 0759 883 351 au barua pepe ananiassalvatory@gmail.com