Huyu atakua kahitimu kidato cha sitaWewe ni mwalimu au umehitimu kidato cha sita?
Itakuwa vizuri kama utaweka wasifu wako wa kitaaluma ili kuona namna ya kukusaidia.Wakuu niko Moshi natafuta shule ya kufundisha "theory & practicals" kwa masomo ya biology,chemistry na physics kwa O level.Kwa advanced level ni Biology na chemistry.Niko moshi mjini na naweza fundisha shuls ya aina yoyote ile
Mkuu nimepiga PCB but nina degree masuala mengine siyo ya elimu but nafanya kazi ya kitafiti na maabara hapa MOSHI so,natafuta kama extra jobItakuwa vizuri kama utaweka wasifu wako wa kitaaluma ili kuona namna ya kukusaidia.
Kumbe una kazi! Ongeza ufanisi wako wa kazi badala ya kudandia fani za wenyewe. Kipato kitaongezeka kutokana na thamani yako kazini. Maisha mema mkuu.Mkuu nimepiga PCB but nina degree masuala mengine siyo ya elimu but nafanya kazi ya kitafiti na maabara hapa MOSHI so,natafuta kama extra job
umemaliza dgreeWakuu niko Moshi natafuta shule ya kufundisha "theory & practicals" kwa masomo ya biology,chemistry na physics kwa O level.Kwa advanced level ni Biology na chemistry.Niko moshi mjini na naweza fundisha shuls ya aina yoyote ile
kuna shule hitaj mwalim wa sayans mondulWakuu niko Moshi natafuta shule ya kufundisha "theory & practicals" kwa masomo ya biology,chemistry na physics kwa O level.Kwa advanced level ni Biology na chemistry.Niko moshi mjini na naweza fundisha shuls ya aina yoyote ile
Ndiyo,nina degreeumemaliza dgree
Asante kwa taarifakuna shule hitaj mwalim wa sayans mondul
ISM is Hiring wahi mshahara ni USD kama uko vzr ni hela ndefuWakuu niko Moshi natafuta shule ya kufundisha "theory & practicals" kwa masomo ya biology,chemistry na physics kwa O level.Kwa advanced level ni Biology na chemistry.Niko moshi mjini na naweza fundisha shuls ya aina yoyote ile
Umemjibu vzur sanaKumbe una kazi! Ongeza ufanisi wako wa kazi badala ya kudandia fani za wenyewe. Kipato kitaongezeka kutokana na thamani yako kazini. Maisha mema mkuu.