Natafuta shule ya A-level

Natafuta shule ya A-level

Fuata hatua hizi
1. Chagua mkoa unaotaka kwenda
2. Angalia matokeo ya necta ya shule kadhaa mkoa huo.
3. Chagua shule yoyote yenye matokeo mazuri.
4. Nenda kasome hiyo shule.

NB. Matokeo yako ya mwisho shule inachangia asilimia 50 na kichwa chako 40. Goodluck
 
unapoteza mda dogo fanya hivi nenda chuo pata diploma unga degree, form six ukizingua unarudia cheti za form tena
Usimtishe dogo wa watu kwani anashindwa kupiga 1 ya 8 sio kila mtu alifeli mkuuuu
 
Fuata hatua hizi
1. Chagua mkoa unaotaka kwenda
2. Angalia matokeo ya necta ya shule kadhaa mkoa huo.
3. Chagua shule yoyote yenye matokeo mazuri.
4. Nenda kasome hiyo shule.

NB. Matokeo yako ya mwisho shule inachangia asilimia 50 na kichwa chako 40. Goodluck
Asante, good idea alafu vipi chemistry na geography
ipi Ina course nyingi
 
Asante, good idea alafu vipi chemistry na geography
ipi Ina course nyingi
Sijaelewa swali vizuri, umemaanisha (i). Ipi ina topics nyingi kwa advance?

(ii). Ama course nyingi ukifika university?.
Ans.
i. Kwa topics nyingi na ngumu advance ni Chemistry. Geography shida yake ipo kwenye physical geog but mengine kawaida sana.

ii. Kwa kozi nyingi chuo kikuu chemistry inaongoza.

Masomo mema.
 
Kichwa kikubwa sana tatz hujataja mkoa uliopo enewei nenda TABORA BOYS,MZUMBE ELBORU MBWIRU
 
Back
Top Bottom