Natafuta Shule nzuri ya Private ya A-level?

Natafuta Shule nzuri ya Private ya A-level?

Streptokinase

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2018
Posts
278
Reaction score
447
Wakuu habari za majukum.

Ninaomba msaada wa kutajiwa shule nzuri kwa ajili ya mdogo wangu wa kike, iwe girls tupu au mchanganyiko.

Ikiwezekana kutajiwa na ada itapendeza zaidi.

Nawasilisha.
 
Mkoa gani, budget yako?

Kwa Dar St. Joseph iko vzuri

Shule zipo nying sana search uangalie historia ya matokeo na ufaulu wao + kama iko ndani ya budget yako.
 
Mkoa gani, budget yako?

Kwa Dar St. Joseph iko vzuri

Shule zipo nying sana search uangalie historia ya matokeo na ufaulu wao + kama iko ndani ya budget yako.
Budget yangu ada isizidi million 3. Mikoa yoyote ni sawa kasoro kanda ya ziwa huko.

Sawa nitaifatilia iyo st. Joseph
 
Samahanii naeza pata shule ya advance private isizid mil 2 yenye sayans
 
Jitegemee jkt high school
The home of displine and academic performance.

Ada 1122000/= kwa mwaka.
Mpeleke
 
Budget yangu ada isizidi million 3. Mikoa yoyote ni sawa kasoro kanda ya ziwa huko.

Sawa nitaifatilia iyo st. Joseph
thaqafaa sekondari Mwanza ada kwa hostel ni million 2 tu, perfomance kwa mwaka jana div 1 50na div 2 80na div 3 chache ,div 4 na zero hazikuepo.achana na ubaguzi wa kikanda mura .shure ni shure mura.
 
Back
Top Bottom